PICHA NO.903 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wananchi kutoa ushirikiano juu ya utekelezaji wa mradi wa kuwarejesha skuli watoto waliofikia umri ili kuwawezesha kupata elemu bora itakayosaidia kuwajengea mustkbali wa maisha yao ya baadae. Rais Dk. Mwinyi alieleza hayo katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed